top of page

OUR MINISTRIES

 

Nous avons plusieurs ministères au sein de notre Paroisse à savoir:

-Le Ministère de la Jeunesse pour Christ (MJC)

-Le ministère de la Femme et Famille(SFF)

-Le Ministère de l'Homme et Famille(SHF)

-Le Ministère des Enfant(EcoDim)

Le Ministère de L'intersession

-Le Ministère des Anciens de l'Eglise

-Le Ministère de diaconie

​



prayer

 

Tuombe Mungu aletu uamsho mpya katika kanisa letu, aonekane katikati ya wana wake kama Emmanueli

elders / seniors

 

Wazee wa kanisa ni watu wanaoangalia bonne gouvernance katika kanisa. kwa hivi unapochagua mzee wa kanisa omba Mungu akuonyeshe yule aliye na roho wa Mungu ili aongoze kufuatana na Neno la Mungu

youth

 

Vijana ndiyo kanisa la kesho. Espoir yote ya ka,isa ni ndani ya catégorie hii ya kanisa. Ka hiyo tunaalika vijana wote ku prendre conscience ya hiyo kazi iliyo mbele yao.

Mungu abarika vijana wote

music

 

Talents zote za uimbaji zinahitajika kwa ajili ya maendeleo bora ya kanisa. Tunaamini Bwana anakaa katika sifa za wana wake. 

Kila muimbaji ajitakase ili sifa zake zilete utukufu kwa Bwana

community service

 

Kila kikundi kinatayarisha ginsi yakufaa kazi mbalimbali kufuatana na uongozi wao

bottom of page